Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akabidhi tuzo kwa familia ya Marehemu Joachim Kapembe, kwa kutambua na kuthamini mchango wa Marehemu Joachim Kapembe wakati wa uzinduzi wa huduma ya Mawasiliano ya Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13 2022.
Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporate Machi 26 mwaka huu limetoa futari kwa Watoto Yatima katika Kituo cha Mazizini na
Tanzania imeendelea kung’ara katika ramani ya maendeleo ya TEHAMA barani Afrika baada ya Shirika la Mawasiliano Tanzania
SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia
Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), T-PESA, imeshiriki kikamilifu katika ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kupitia Kituo cha Taifa cha Utunzaji Data Kimtandao (NIDC)
Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imefanya Kikao Kazi Maalum na Wadau wa Sekta ya
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ametembelea mabanda ya Taasisi
Machi 7 mwaka huu Wanawake wa TTCL waliungana na Wanawake wenzao Zaidi ya 400
Katika kuadhimisha na kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu 2026, Wanawake wa
Baadhi ya Viongozi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wametembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limefanikiwa kutekeleza programu maalumu ya mauzo ya huduma ya intaneti ya
Wanafunzi wa Chuo cha DIT wameshauriwa kuweka bidii na maarifa katika masomo yao ili waweze kufikia malengo na
Mhe.Jerry Silaa amepongeza juhudi za Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL katika kuungaisha nchi za jirani
Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, T-PESA Limited na Shirika la Bima