info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
November 12, 2025 11:56:45 | By Adeline Berchimance TANZANIA YANG’ARA KUPITIA TTCL — WBBA YAITAMBUA KAMA KINARA WA MIUNDOMBINU YA KIDIJITALI AFRIKA

Tanzania imeendelea kung’ara katika ramani ya maendeleo ya TEHAMA barani Afrika baada ya Shirika la Mawasiliano Tanzania

News
June 24, 2026 09:28:13 | By Ester Mbanguka “TTCL NI MHIMILI MUHIMU KUELEKEA TANZANIA YA KIDIJITALI" – PROFESA SHEMDOE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe Profesa Riziki Shemdoe ametoa rai kwa wananchi kutumia huduma zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) huku akipongeza juhudi za Shirika hilo katika kutekeleza dhamira ya Serikali ya kujenga Tanzania ya kidijitali na kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora na za uhakika za mawasiliano.

News
October 13, 2025 08:45:27 | By Adeline Berchimance HUDUMA BORA KWA WATEJA, KIPAUMBELE CHA KWANZA CHA TTCL – NGOWI

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia

News
April 29, 2026 14:05:19 | By Ester Mbanguka TTCL YAKABIDHI MAGARI 9 NA BAJAJI 28 KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, akabidhi rasmi magari tisa (9) na bajaji ishirini na nane (28) kwa Wakuu wa Idara na Vitengo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha utekelezaji wa majukumu ya Shirika na kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja.

News
April 5, 2025 14:40:18 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU WA TTCL ATEMBELEA TANGA KUKAGUA UJENZI WA MINARA YA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Moremi Marwa, amefanya ziara ya kikazi katika mkoa wa Tanga kwa ajili ya kukagua

News
June 11, 2024 13:47:28 | By Adeline Berchimance UKAGUZI WA MAENDELEO YA MRADI

Kamati Tendaji ya Baraza la Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania limefanya ziara

News
August 28, 2024 17:48:06 | By Adeline Berchimance RAIS SAMIA AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA KUFANYA KAZI KWA UFANISI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 28,2024 amefungua rasmi Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na

News
July 22, 2025 15:57:44 | By Adeline Berchimance TTCL YAUNGANISHA AFRIKA MASHARIKI KIDIJITALI KUPITIA TANZANIA–UGANDA CORRIDOR

Katika hatua ya kuimarisha mawasiliano ya kikanda na kukuza uchumi wa kidijitali, Waziri wa

News
April 17, 2026 14:18:58 | By Ester Mbanguka TTCL YAPONGEZWA KWA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 22.9

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.

News
August 9, 2023 12:10:07 | By Adeline Berchimance WAZIRI NAPE AMLILIA MAREHEMU KAPEMBE, AMPA TUZO YA KIHISTORIA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akabidhi tuzo kwa familia ya Marehemu Joachim Kapembe, kwa kutambua na kuthamini mchango wa Marehemu Joachim Kapembe wakati wa uzinduzi wa huduma ya Mawasiliano ya Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13 2022.

News
February 11, 2026 16:34:46 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA USIMAMIZI BORA WA MIUNDOMBINU YA TEHAMA KUPITIA NIDC

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kupitia Kituo cha Taifa cha Utunzaji Data Kimtandao (NIDC)

News
November 30, 2023 15:24:48 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU KWA WATEJA MAADHIMISHO WIKI YA FEDHA

T- Pesa Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL-Corporation ni miongoni mwa Mashirika na

News
August 28, 2024 16:40:15 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU TTCL ASHIRIKI KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA -ARUSHA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, CPA Moremi Marwa ameshiriki Kikao Kazi cha cha Wenyeviti wa Bodi na

News
July 13, 2024 13:50:02 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MTENDAJI T- PESA AONGOZA JUKWAA LA WANAWAKE SABASABA 2024

Wanawake Viongozi kutoka kwenye Taasisi, Kampuni, Mashirika, Wajasiriamali na Wafanyabiashara wamekutana katika

News
August 12, 2025 16:18:29 | By Adeline Berchimance BODI YA WAKURUGENZI TTCL YATEMBELEA NICTBB KIBAHA NA SEACOM

Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imefanya ziara maalum katika kituo cha SEACOM kilichopo