info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 25, 2023 15:06:26 | By Adeline Berchimance TTCL KITOVU CHA MAENDELEO SEKTA YA MAWASILIANO

Imeelezwa kuwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) ni kitovu cha maendeleo ya Sekta ya Mawasiliano na kitovu cha maendeleo ya uchumi wa Kidigitali nchini.

News
June 16, 2025 08:30:38 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU YA MIAMALA TAMASHA LA FINTECH

T-PESA Kampuni tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imeendelea kutoa elimu ya miamala salama ya fedha kimtandao

News
August 23, 2025 17:36:13 | By Adeline Berchimance WANAFUNZI WA SHREE HINDU MANDAL WAFANYA ZIARA TTCL

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Shree Hindu Mandal wamefanya ziara ya mafunzo katika

News
August 26, 2024 12:26:45 | By Adeline Berchimance TTCL KUPELEKA HUDUMA ZA MAWASILIANO KATIKA VITUO VYOTE VYA UTALII NCHINI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL limesema kuwa litapeleka huduma za

News
September 18, 2024 14:06:27 | By Adeline Berchimance TTCL MSHIRIKI NA MDHAMINI WA MKUTANO WA C2C 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano

News
October 13, 2025 08:45:27 | By Adeline Berchimance HUDUMA BORA KWA WATEJA, KIPAUMBELE CHA KWANZA CHA TTCL – NGOWI

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia

News
October 21, 2025 15:33:17 | By Adeline Berchimance TANZANIA NA DRC KUUNGANISHWA KUPITIA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda kupitia Kikao

News
October 24, 2024 08:36:23 | By Adeline Berchimance WAZIRI SILAA ZIARANI MKOANI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) ameanza ziara

News
August 28, 2024 17:48:06 | By Adeline Berchimance RAIS SAMIA AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA KUFANYA KAZI KWA UFANISI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 28,2024 amefungua rasmi Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na

News
June 11, 2024 13:47:28 | By Adeline Berchimance UKAGUZI WA MAENDELEO YA MRADI

Kamati Tendaji ya Baraza la Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania limefanya ziara

News
April 10, 2025 09:55:33 | By Adeline Berchimance N-CARD YAPONGEZWA UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO

Imeelezwa kuwa uwepo wa matumizi ya N-CARD katika maeneo ya vivuko, stendi za mabasi na

News
August 16, 2024 15:06:02 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA AKABIDHIWA OFISI RASMI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa amekabidhiwa rasmi Ofisi baada

News
October 25, 2024 00:22:15 | By Adeline Berchimance WAZIRI SILAA AZINDUA MNARA WA TTCL KIJIJI CHA HIKA WILAYA YA MANYONI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa (Mb) amezindua rasmi

News
July 13, 2024 20:02:10 | By Adeline Berchimance RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TTCL SABA SABA 2024

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi ametembelea Banda la TTCL kwenye

News
August 26, 2024 12:48:37 | By Adeline Berchimance RAIS SAMIA APONGEZA TTCL USHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha