info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
June 30, 2025 15:37:00 | By Adeline Berchimance TEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA KWA MAHITAJI YA HUDUMA ZA UHAKIKA SALAMA NA GHARAMA NAFUU -BI. MAEDA

Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL, ni miongoni mwa Taasisi, Kampuni Mashirika ya Umma na Binafsi pamoja na

News
February 27, 2026 14:05:01 | By Adeline Berchimance TTCL YAWEKA MIKAKATI MADHUBUTI KUFANIKISHA DIRA YA MAENDELEO 2050

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, amewasilisha mafanikio ya

News
August 30, 2024 10:23:40 | By Adeline Berchimance VIONGOZI WA TAASISI NA MASHIRIKA WAPEANA UZOEFU KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma wameendelea na Kikao Kazi kilichowakutanisha jijini Arusha kwa lengo la kujadili masuala

News
March 8, 2024 14:52:58 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI SOKO LA MABIBO

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa vifaa vya kufányia usafi soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kwa lengo likiwa

News
July 28, 2025 07:31:11 | By Adeline Berchimance TTCL YAENDELEA NA MAGEUZI YA KIDIJITALI: YASHIRIKI WARSHA YA KIMATAIFA YA TEKNOLOJIA ILIYOANDALIWA NA KAMPUNI YA NOKIA

Timu ya wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kutoka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), ikiongozwa na

News
April 2, 2025 11:46:42 | By Adeline Berchimance KAMILISHENI UJENZI WA MINARA KWA WAKATI- CPA MARWA

Wakandarasi wa ujenzi wa minara ya mawasiliano wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kwakuzingatia

News
August 27, 2024 14:55:39 | By Adeline Berchimance KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA CHA ZIKUTANISHA TAASISI 248 ARUSHA

Mashirika ya Umma yapatayo 248 na Mashirika yasiyo ya Umma 58 kupitia kwa Wenyeviti wa Bodi na

News
July 8, 2024 19:44:12 | By Adeline Berchimance SABA SABA FURSA YA KUKUTANA NA WATEJA NA KUIMARISHA MAHUSIANO KIBIASHARA

Maonesho ya Saba Saba ni maonyesho ya biashara na viwanda yanayofanyika

News
April 17, 2026 13:17:55 | By Ester Mbanguka TTCL YAPOKEA TUZO UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KIDIJITALI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa shirika hilo katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.

News
July 4, 2024 12:29:51 | By Adeline Berchimance TTCL YAJA NA HUDUMA YA T CAFE

SHIRIKA ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekuja na huduma mpya ambayo itahusisha kufunga mtandao kwa bei nafuu katika

News
August 28, 2024 16:40:15 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU TTCL ASHIRIKI KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA -ARUSHA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, CPA Moremi Marwa ameshiriki Kikao Kazi cha cha Wenyeviti wa Bodi na

News
April 8, 2024 14:20:05 | By Adeline Berchimance KAMATI YA BUNGE YA TEHAMA NA MIONGOZO YA KITAIFA YA UGANDA YAFANYA ZIARA TTCL

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya TEHAMA na Miongozo ya Kitaifa ya Uganda kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano ya Uganda

News
June 4, 2026 17:32:16 | By Ester Mbanguka UJUMBE WA UETCL WAPONGEZA TTCL KWA KUKUZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA KIDIJITALI AFRIKA MASHARIKI

Ujumbe kutoka Kampuni ya Kusafirisha Umeme nchini Uganda (Uganda Electricity Transmission Company Limited - UETCL) umetembelea Kijitonyama FTTx Experience Centre na kupongeza juhudi za Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika kuwekeza kwenye miundombinu na suluhisho za kidijitali zinazochangia maendeleo ya sekta ya mawasiliano nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki.

News
August 1, 2025 22:13:46 | By Adeline Berchimance KIMARA IMEITIKA: FAIBA MLANGONI KWAKO KUTOKA TTCL

Katika jitihada za kuleta mapinduzi ya kidigitali na kuboresha maisha ya Watanzania, Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)

News
April 17, 2026 14:25:24 | By Ester Mbanguka TTCL YAZINDUA KIJITONYAMA FTTX EXPERIENCE CENTER

Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL amezindua rasmi kituo cha kisasa cha maonesho kinachojulikana kama KIJITONYAMA FTTX Experience Center chenye lengo la kuonesha na kuelimisha umma kuhusu teknolojia ya mawasiliano ya kisasa.