info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
June 29, 2025 17:05:25 | By Adeline Berchimance TTCL YAJIPANGA KIKAMILIFU KUWAHUDUMIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA – SABASABA 2025

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wameonesha maandalizi ya hali ya juu katika kuhudumia wateja na

News
June 11, 2026 17:38:11 | By Ester Mbanguka MKURUGENZI MKUU WA TTCL AKAGUA MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO NA MIRADI YA UPANUZI WA FAIBA PEMBA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, amefanya ziara ya kukagua miundombinu mbalimbali ya mawasiliano katika Mkoa wa Pemba ikiwa ni sehemu ya jitihada za Shirika za kuhakikisha uwekezaji uliofanywa katika sekta ya mawasiliano unaleta tija, unaimarisha huduma kwa wananchi na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali.

News
August 14, 2026 16:16:59 | By Debora Ngalima NAIBU WAZIRI MHE. WANU HAFIDH AMEIR ATEMBELEA BANDA LA TTCL KIZIMKAZI 2026

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia na Mbunge wa Makunduchi, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi 2026, Zanzibar.

News
July 1, 2024 13:19:48 | By Adeline Berchimance SABA SABA 2024 FURSA KWA TTCL KUONESHA UMAHILI WAKE SEKTA YA MAWASILIANO

Shirika la Mawasiliano Tanzania - TTCL linashiriki katika Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Saba Saba katika

News
October 13, 2024 11:02:07 | By Adeline Berchimance TTCL KUBORESHA UTOAJI HUDUMA KWA WATEJA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuboresha huduma zake kwa wateja kupitia

News
April 17, 2026 14:18:58 | By Ester Mbanguka TTCL YAPONGEZWA KWA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 22.9

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.

News
October 25, 2024 00:22:15 | By Adeline Berchimance WAZIRI SILAA AZINDUA MNARA WA TTCL KIJIJI CHA HIKA WILAYA YA MANYONI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa (Mb) amezindua rasmi

News
June 17, 2026 17:26:40 | By Ester Mbanguka WATUMISHI WAHIMIZWA KUIMARISHA UWAJIBIKAJI KWA HUDUMA ENDELEVU KWA WANANCHI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Jakaya Kikwete (Mb), amezindua rasmi Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma, huku akiwataka watumishi wa umma nchini kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uwajibikaji na kujituma katika kutoa huduma bora na endelevu kwa wananchi.

News
November 12, 2025 08:19:38 | By Adeline Berchimance TANZANIA IMEJIPANGA KUWA KITOVU CHA TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO AFRIKA - MARWA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, amepongeza juhudi za

News
September 18, 2024 14:06:27 | By Adeline Berchimance TTCL MSHIRIKI NA MDHAMINI WA MKUTANO WA C2C 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano

News
August 11, 2025 09:41:37 | By Adeline Berchimance TTCL YAPATA PONGEZI ZA VIONGOZI WA SERIKALI KWA HUDUMA BORA NA MAENDELEO YA MKONGO WA MAWASILIANO NANENANE 2025

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kupewa pongezi kutoka kwa Viongozi Waandamizi wa

News
August 4, 2026 17:50:04 | By Debora Ngalima TTCL YAJA NA OFA KABAMBE MSIMU WA MAONESHO YA NANE NANE 2026

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetangaza ofa kabambe ya punguzo la bei kwenye vifaa vya intaneti kwa wananchi wanaotembelea banda lake katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane 2026, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha matumizi ya teknolojia ya kidijitali na kuongeza upatikanaji wa huduma bora za mawasiliano nchini.

News
June 16, 2025 08:30:38 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU YA MIAMALA TAMASHA LA FINTECH

T-PESA Kampuni tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imeendelea kutoa elimu ya miamala salama ya fedha kimtandao

News
November 12, 2025 11:56:45 | By Adeline Berchimance TANZANIA YANG’ARA KUPITIA TTCL — WBBA YAITAMBUA KAMA KINARA WA MIUNDOMBINU YA KIDIJITALI AFRIKA

Tanzania imeendelea kung’ara katika ramani ya maendeleo ya TEHAMA barani Afrika baada ya Shirika la Mawasiliano Tanzania

News
June 23, 2026 10:28:50 | By Ester Mbanguka TTCL YAPONGEZWA KWA KUUNGA MKONO AJENDA YA TANZANIA YA KIDIJITALI

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Jafar Rajab Seif, amelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa mchango wake katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuunga mkono jitihada za Serikali za kujenga uchumi wa kidijitali kupitia utoaji wa huduma za kisasa za TEHAMA.