info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100

Latest From Our Blog

News
September 15, 2026 17:05:53 | By Debora Ngalima MHE. KAIRUKI ATEMBELEA KITUO CHA MAONESHO KIJITONYAMA, KUSHUHUDIA UBUNIFU WA TEKNOLOJIA YA FTTX

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amewataka Watanzania kuchangamkia fursa zinazotokana na huduma za mawasiliano zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), hususan huduma za intaneti ya kasi kupitia Faiba Mlangoni Kwako, ili kuongeza matumizi ya teknolojia katika shughuli za kila siku na kuchangia ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.

News
September 11, 2026 08:22:29 | By Debora Ngalima TTCL MUHIMILI WA MAWASILIANO NCHINI, DC LONGIDO APONGEZA HUDUMA ZA SHIRIKA

Mkuu wa Wilaya ya Longido, Mhe. Salum Abdalah Kalli, amelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa mchango wake katika kuimarisha sekta ya mawasiliano nchini na kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na za uhakika, ikiwemo huduma ya intaneti kupitia Faiba Mlangoni Kwako.

News
September 8, 2026 19:38:09 | By Debora Ngalima TTCL NA BBS YA BURUNDI WAENDELEA KUBORESHA MAHUSIANO YA KIBIASHARA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano (NICTBB), na Burundi Backbone System (BBS) wamesaini mkataba wa kuongeza uwezo wa huduma za mawasiliano nchini Burundi kutoka 4Gbps hadi 10Gbps.

Sports
August 31, 2026 08:01:46 | By Debora Ngalima TTCL CHACHU YA MAPINDUZI YA KIDIJITALI KATIKA SOKA ZANZIBAR

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe. Dkt. Riziki Pembe Juma, amesema ushirikiano kati ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) una fursa kubwa ya kubadilisha uendeshaji wa soka Zanzibar kwa kutumia teknolojia za kidijitali.

News
August 29, 2026 21:22:12 | By Debora Ngalima TTCL YATOA MAFUNZO YA HUDUMA BORA KWA MTEJA KWA TIMU YA MAFUNDI WA FAIBA MKOANI DODOMA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia Kitengo cha Uhusiano kwa Umma kutoka Makao Makuu, kwa kushirikiana na watumishi wa TTCL Mkoa wa Dodoma pamoja na kampuni ya Huawei, limefanikisha mafunzo maalum ya huduma bora kwa mteja yaliyolenga timu ya mafundi wanaotoa huduma ya uunganishaji wa intaneti ya Faiba Kwa wateja mbalimbali wa TTCL.

News
August 28, 2026 08:06:35 | By Debora Ngalima POLISI DAR ES SALAAM YAWAKAMATA 11 KWA TUHUMA ZA HUJUMA MIUNDOMBINU YA TTCL

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu 11 wanaodaiwa kujihusisha na wizi, uharibifu, usafirishaji na biashara ya miundombinu ya mawasiliano ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), huku likisema hali ya usalama jijini kwa ujumla ni shwari.

Live from Mount Kilimanjaro