info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100

Latest From Our Blog

News
July 3, 2026 22:50:14 | By Ester Mbanguka VIONGOZI WA TTCL WATEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA 2026, WASISITIZA HUDUMA BORA KWA WATEJA

Baadhi ya Viongozi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wametembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.

News
July 3, 2026 16:05:13 | By Ester Mbanguka TTCL YAPOKEA WANAFUNZI WA ST. THERESE MAPINGA KWA ZIARA YA KIMAFUNZO

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepokea wanafunzi wa Shule ya Sekondari St. Therese Mapinga waliotembelea makao Makuu ya shirika kwa ziara ya mafunzo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa utafiti wao wa kitaaluma (Project Work) wenye mada isemayo, "The Role of TTCL Corporation in Improving Communication in Tanzania."

News
July 3, 2026 14:17:34 | By Ester Mbanguka WAZIRI KAPINGA AIPONGEZA TTCL KWA FAIDA NA GAWIO KWA SERIKALI

WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga, ameipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa kuendelea kufanya vizuri kibiashara, kupata faida, kutoa gawio kwa Serikali pamoja na kutunukiwa tuzo maalum na Rais Samia Suluhu Hassan.

News
July 2, 2026 18:00:29 | By Ester Mbanguka TTCL YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA VITENDEA KAZI, YAKABIDHI MAGARI SITA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi milioni 903 kwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, Meneja wa Network Operations and Maintenance pamoja na Meneja wa Network Planning, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa shughuli za kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi.

News
July 2, 2026 15:21:58 | By Ester Mbanguka TTCL YATUNUKIWA TUZO KWA MCHANGO WAKE KATIKA KONGAMANO LA KWANZA LA MWAKA LA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI NA FARAGHA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake mkubwa katika kufanikisha Kongamano la Kwanza la Mwaka la Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Faragha, baada ya kudhamini huduma ya intaneti ya uhakika iliyowezesha shughuli zote za kongamano hilo kufanyika kwa ufanisi.

News
July 1, 2026 22:40:31 | By Ester Mbanguka NAIBU GAVANA WA BENKI KUU ATEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA 2026, APONGEZA MAGEUZI YA KIDIJITALI

TTCL tunamshukuru Naibu Gavana wa Benki Kuu kwa kutembelea banda letu na kwa kutambua mchango wa Shirika katika kujenga Tanzania ya kidijitali.

Live from Mount Kilimanjaro