info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100

Habari Zetu

Habari
February 11, 2025 20:06:28 | Na Adeline Berchimance MAKAMU WA RAIS, DKT MPANGO AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA MIFUMO KUSOMANA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao kinacholenga kuimarisha matumizi ya (TEHAMA) katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Habari
February 7, 2025 12:39:45 | Na Adeline Berchimance WASTAAFU TTCL WAISHUKURU MENEJIMENTI KWA KUWAPA MAFUNZO YA KUSTAAFU

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti

Habari
January 9, 2025 12:13:29 | Na Adeline Berchimance IMARISHENI MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO ILI KUFIKIA MALENGO YA SERIKALI – MHANDISI MAHUNDI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb),

Habari
December 16, 2024 16:59:15 | Na Ester Mbanguka WAZIRI SILAA AZINDUA RASMI BODI MPYA YA TTCL

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry William Silaa (Mb) amezindua rasmi Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania - TTCL leo tarehe 16 Desemba, 2024, Makao Makuu ya TTCL, jijini Dar es Salaam.

Habari
November 26, 2024 08:31:53 | Na Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU WA WAKALA WA MAENDELEO YA HUDUMA ZA MTANDAO NCHINI COMORO AFANYA ZIARA TTCL

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Huduma za Mtandao nchini Comoro (ANADEM) Bw. Said Mouinou

Mubashara kutoka Mlima Kilimanjaro