info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
Habari
February 11, 2025 20:06:28 | Na Adeline Berchimance MAKAMU WA RAIS, DKT MPANGO AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA MIFUMO KUSOMANA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki Kikao Kazi cha Tano cha Serikali Mtandao kinacholenga kuimarisha matumizi ya (TEHAMA) katika kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Habari
February 7, 2025 12:39:45 | Na Adeline Berchimance WASTAAFU TTCL WAISHUKURU MENEJIMENTI KWA KUWAPA MAFUNZO YA KUSTAAFU

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti

Habari
January 9, 2025 12:13:29 | Na Adeline Berchimance IMARISHENI MIUNDOMBINU YA MAWASILIANO ILI KUFIKIA MALENGO YA SERIKALI – MHANDISI MAHUNDI

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb),

Habari
December 16, 2024 16:59:15 | Na Ester Mbanguka WAZIRI SILAA AZINDUA RASMI BODI MPYA YA TTCL

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry William Silaa (Mb) amezindua rasmi Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania - TTCL leo tarehe 16 Desemba, 2024, Makao Makuu ya TTCL, jijini Dar es Salaam.

Habari
November 26, 2024 08:31:53 | Na Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU WA WAKALA WA MAENDELEO YA HUDUMA ZA MTANDAO NCHINI COMORO AFANYA ZIARA TTCL

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Huduma za Mtandao nchini Comoro (ANADEM) Bw. Said Mouinou

Habari
November 22, 2024 08:21:03 | Na Adeline Berchimance TTCL SASA NI MWENDO WA “WALETEE” KUWARUDISHA WATANZANIA NYUMBANI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) limezindua Kampeni Mpya “WALETEE”

Habari
October 28, 2024 05:40:48 | Na Adeline Berchimance WIZARA NA TAASISI ZAKE YAWASILISHA TAARIFA MBELE YA KAMATI YA MIUNDOMBINU

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na taasisi zake za Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na

Habari
October 25, 2024 15:39:27 | Na Adeline Berchimance WAZIRI SILAA ATEMEBELEA KITUO CHA MKONGO ITIGI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa Oktoba

Habari
October 25, 2024 00:22:15 | Na Adeline Berchimance WAZIRI SILAA AZINDUA MNARA WA TTCL KIJIJI CHA HIKA WILAYA YA MANYONI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa (Mb) amezindua rasmi

Habari
October 24, 2024 08:36:23 | Na Adeline Berchimance WAZIRI SILAA ZIARANI MKOANI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) ameanza ziara

Habari
October 18, 2024 16:30:17 | Na Adeline Berchimance WATUMISHI TTCL WAPATIWA MAFUNZO YA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL wapatiwa mafunzo kuhusu Sheria Mpya ya Ununuzi wa

Habari
October 18, 2024 15:35:03 | Na Adeline Berchimance WAZIRI MKUU MAJALIWA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA TEHAMA 2024

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amefunga rasmi Kongamano la

Habari
October 18, 2024 09:29:14 | Na Adeline Berchimance WAFANYAKAZI WA BUNGE LA MAREKANI WAFANYA ZIARA TTCL

Wafanyakazi wa Bunge la Marekani (Congressional Staff) Oktoba 17, 2024 walifanya ziara