info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
January 31, 2026 17:27:46 | By Adeline Berchimance WAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA OFISI ZA TTCL ZANZIBAR, APONGEZA UTENDAJI NA KUAGIZA KUONGEZA KASI

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angella Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb), Januari 26, 2026

News
August 23, 2025 17:36:13 | By Adeline Berchimance WANAFUNZI WA SHREE HINDU MANDAL WAFANYA ZIARA TTCL

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Shree Hindu Mandal wamefanya ziara ya mafunzo katika

News
August 18, 2025 08:32:58 | By Adeline Berchimance TTCL YAFANIKISHA KAMPENI YA FTTH KIMARA STOP OVER, YAHAMIA KIMARA TEMBONI

Meneja wa Kibiashara wa TTCL Mkoa wa Dar es Salaam Kaskazini, Bw. Diwani Mwamengo, amesema utekelezaji

News
August 1, 2025 22:13:46 | By Adeline Berchimance KIMARA IMEITIKA: FAIBA MLANGONI KWAKO KUTOKA TTCL

Katika jitihada za kuleta mapinduzi ya kidigitali na kuboresha maisha ya Watanzania, Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)

News
March 9, 2026 07:53:11 | By Adeline Berchimance WANAWAKE - TTCL WAPATIWA SEMINA YA AFYA YA AKILI KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Katika kuadhimisha na kuelekea kilele cha Siku ya Wanawake Duniani mwaka huu 2026, Wanawake wa

News
October 13, 2025 08:45:27 | By Adeline Berchimance HUDUMA BORA KWA WATEJA, KIPAUMBELE CHA KWANZA CHA TTCL – NGOWI

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), limesema kuwa litaendelea kuboresha huduma zake kwa kutumia

News
April 8, 2024 15:57:54 | By Adeline Berchimance TTCL YAPONGEZWA KWA MAGEUZI KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL limepongezwa kwa jitihada na kazi kubwa inayofanyika ya kuleta mageuzi kidijitali nchini.

News
August 9, 2024 10:46:59 | By Adeline Berchimance TTCL YAPELEKA HUDUMA ZAKE NANE NANE DODOMA

Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporation limepeleka huduma na bidhaa zake katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji maarufu

News
November 30, 2023 15:24:48 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU KWA WATEJA MAADHIMISHO WIKI YA FEDHA

T- Pesa Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL-Corporation ni miongoni mwa Mashirika na

News
April 17, 2026 13:17:55 | By Ester1 Mbanguka1 TTCL YAPOKEA TUZO UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KIDIJITALI NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa shirika hilo katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.

News
April 17, 2026 14:18:58 | By Ester1 Mbanguka1 TTCL YAPONGEZWA KWA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 22.9

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.

News
August 12, 2024 10:18:44 | By Adeline Berchimance MRAJISI WA VYAMA VYA USHIRIKA AGUSWA NA HUDUMA YA MALIPO KWA MKUPUO YA T-PESA

Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation limepongezwa kwa ubunifu wake wa kuiona fursa kwa

News
May 2, 2026 15:31:42 | By Ester1 Mbanguka1 MEI MOSI 2026:RAIS SAMIA AHIMIZA BIDII, UAMINIFU NA WELEDI KATIKA KUCHOCHEA UJENZI WA UCHUMI NCHINI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amewahimiza Wafanyakazi kufanya kazi kwa bidii, uaminifu na weledi mkubwa ili kuchochea ujenzi wa uchumi imara,maendeleo ya jamii kwa kuzingatia misingi ya Amani na Mshikamano.

News
November 12, 2025 11:56:45 | By Adeline Berchimance TANZANIA YANG’ARA KUPITIA TTCL — WBBA YAITAMBUA KAMA KINARA WA MIUNDOMBINU YA KIDIJITALI AFRIKA

Tanzania imeendelea kung’ara katika ramani ya maendeleo ya TEHAMA barani Afrika baada ya Shirika la Mawasiliano Tanzania

News
April 8, 2024 15:24:58 | By Adeline Berchimance TUTAENDELEA KUIMARISHA MAWASILIANO MKOANI MWANZA ILI KUONGEZA UFANISI: MHA. ULANGA

Mkurugenzi Mkuu Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Mhandisi. Peter Ulanga, ameahidi kuwa shirika hilo litaendelea kuimarisha miundombinu ya