info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 12, 2025 16:37:38 | By Adeline Berchimance WAJUMBE WA BODI YA TTCL WAKAGUA UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA “FAIBA MLANGONI KWAKO” KIMARA

Wajumbe wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wamefanya ziara ya ukaguzi katika eneo la Kimara

News
August 25, 2023 15:53:22 | By Adeline Berchimance NITAZIONDOA CHANGAMOTO NDANI YA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA – RAIS DKT SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan aahidi kuondoa changamoto zinazozikabili Taasisi na Mashirika ya Umma ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao.

News
August 28, 2024 17:48:06 | By Adeline Berchimance RAIS SAMIA AZIAGIZA TAASISI NA MASHIRIKA YA UMMA KUFANYA KAZI KWA UFANISI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 28,2024 amefungua rasmi Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na

News
August 1, 2025 22:13:46 | By Adeline Berchimance KIMARA IMEITIKA: FAIBA MLANGONI KWAKO KUTOKA TTCL

Katika jitihada za kuleta mapinduzi ya kidigitali na kuboresha maisha ya Watanzania, Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)

News
July 22, 2025 10:15:08 | By Adeline Berchimance KITUO CHA TAARIFA CHA KILIMANJARO TELECOM KICHOCHEO CHA MAPINDUZI YA KIDIGITALI KIKANDA

Katika hatua muhimu ya kuimarisha ushirikiano wa kikanda katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)

News
March 8, 2024 14:52:58 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI SOKO LA MABIBO

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa vifaa vya kufányia usafi soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kwa lengo likiwa

News
July 16, 2025 09:00:12 | By Adeline Berchimance MPANGO MKAKATI WA SHIRIKA: UNALENGA KUJIENDESHA KWA TIJA NA UFANISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limewasilisha rasmi Mpango Mkakati wa Biashara wa

News
July 5, 2025 17:56:19 | By Adeline Berchimance MKURUGENZI MKUU TTCL ATEMBELEA MABANDA YA TAASISI MBALIMBALI SABASABA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ametembelea mabanda ya Taasisi

News
March 11, 2025 16:09:26 | By Adeline Berchimance KICHERE AWAPONGEZA WANAWAKE, ASEMA SHIRIKA LINAWATAMBUA

Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wameungana na maelfu ya wanawake kutoka sekta mbalimbali kushiriki katika

News
June 16, 2025 08:30:38 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU YA MIAMALA TAMASHA LA FINTECH

T-PESA Kampuni tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imeendelea kutoa elimu ya miamala salama ya fedha kimtandao

News
August 9, 2023 12:14:11 | By Adeline Berchimance NAPE ATAMBUA MCHANGO WALIOSHIRIKI UZINDUZI MLIMANI KILIMANJARO.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) awatunuku tuzo na vyeti kwa washiriki 57 walioshiriki katika uzinduzi wa huduma ya mawasiliano Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13, 2022.

News
July 8, 2024 14:25:03 | By Adeline Berchimance ZIARA YA WAJUMBE WA BODI SABA SABA

Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bodi ya

News
May 2, 2025 12:27:27 | By Adeline Berchimance HONGERA WAFANYAKAZI, BIDII YA KAZI YENU IMEONEKANA- RAIS DKT. SAMIA

Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) mwaka 2025 yamefanyika kwa

News
July 19, 2025 11:57:35 | By Adeline Berchimance TANZANIA NA KENYA WAZINDUA MAUNGANISHO YA MKONGO WA MAWASILIANO

Tanzania na Kenya zimeandika historia mpya katika ushirikiano wa kidijitali baada ya kuzinduliwa rasmi kwa

News
June 29, 2025 17:05:25 | By Adeline Berchimance TTCL YAJIPANGA KIKAMILIFU KUWAHUDUMIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA – SABASABA 2025

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wameonesha maandalizi ya hali ya juu katika kuhudumia wateja na