info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
October 25, 2024 00:22:15 | By Adeline Berchimance WAZIRI SILAA AZINDUA MNARA WA TTCL KIJIJI CHA HIKA WILAYA YA MANYONI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa (Mb) amezindua rasmi

News
July 4, 2026 19:36:11 | By Ester Mbanguka MKURUGENZI MKUU TTCL AWAKARIBISHA WANANCHI KUJIONEA SULUHISHO ZA KIDIJITALI SABASABA 2026

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Moremi Marwa amewaalika wananchi kutembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026) ili kujionea mageuzi ya kiteknolojia na suluhisho mbalimbali za kidijitali zinazotolewa na Shirika katika kuimarisha huduma za mawasiliano na kuchochea uchumi wa kidijitali nchini.

News
June 1, 2025 20:10:02 | By Adeline Berchimance TANZANIA YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO YA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amesema

News
March 14, 2024 12:33:57 | By Adeline Berchimance UBUNIFU, WELEDI, KUJITAMBUA NA KUJIAMINI VYA TAJWA KUWA SILAHA YA WANAWAKE KUTIMIZA MALENGO

Wanawake Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania wameshauri kuendeleza jitihada zaidi na ubunifu, kujitambua,

News
June 24, 2026 09:28:13 | By Ester Mbanguka “TTCL NI MHIMILI MUHIMU KUELEKEA TANZANIA YA KIDIJITALI" – PROFESA SHEMDOE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe Profesa Riziki Shemdoe ametoa rai kwa wananchi kutumia huduma zinazotolewa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) huku akipongeza juhudi za Shirika hilo katika kutekeleza dhamira ya Serikali ya kujenga Tanzania ya kidijitali na kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora na za uhakika za mawasiliano.

News
March 9, 2026 09:35:39 | By Adeline Berchimance WANAWAKE WA TTCL WATOA MSAADA JKCI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wametoa

News
June 16, 2026 17:14:06 | By Ester Mbanguka TTCL YASHIRIKI MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2026 DODOMA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni 2026 katika Viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.

News
August 27, 2025 11:02:05 | By Adeline Berchimance NAIBU WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TTCL AICC ARUSHA

Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ametembelea Banda la Shirika

News
August 31, 2024 21:21:05 | By Adeline Berchimance CPA MARWA: TTCL KUIMARISHA MAWASILIANO KIDIGITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL , limesema linandelea kuwezesha nchi zinazoizunguka Tanzania kupata huduma ya Mawasiliano kupitia

News
January 16, 2024 15:36:33 | By Adeline Berchimance Miaka 60 ya Mapinduzi Zanzibar

Ukosefu wa huduma za kijamii kama maji, umeme, elimu, miundombinu pamoja na mawasiliano

News
June 29, 2025 17:05:25 | By Adeline Berchimance TTCL YAJIPANGA KIKAMILIFU KUWAHUDUMIA WATEJA KATIKA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA – SABASABA 2025

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wameonesha maandalizi ya hali ya juu katika kuhudumia wateja na

News
February 23, 2024 19:42:29 | By Adeline Berchimance TTCL YAZIDI KUJIKITA KIMATAIFA KIBIASHARA

Imeelezwa kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeonesha dhamira thabiti ya kusimamia sekta ya mawasiliano nchini kwa

News
July 2, 2026 18:00:29 | By Ester Mbanguka TTCL YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA VITENDEA KAZI, YAKABIDHI MAGARI SITA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kutekeleza mkakati wake wa kuboresha mazingira ya kazi kwa kukabidhi magari sita (6) mapya yenye thamani ya Shilingi milioni 903 kwa Meneja wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, Meneja wa Network Operations and Maintenance pamoja na Meneja wa Network Planning, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa shughuli za kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi.

News
November 24, 2025 08:29:22 | By Adeline Berchimance T-PESA YADHAMINI NA KUSHIRIKI SEMINA YA UONGOZI WA WANAWAKE KATIKA BIMA BARANI AFRIKA

Kampuni ya T-Pesa imedhamini na kushiriki kikamilifu katika Semina ya Uongozi wa Wanawake katika Bima Barani Afrika

News
October 18, 2024 16:30:17 | By Adeline Berchimance WATUMISHI TTCL WAPATIWA MAFUNZO YA SHERIA MPYA YA UNUNUZI WA UMMA

Watumishi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL wapatiwa mafunzo kuhusu Sheria Mpya ya Ununuzi wa