Mhe. Jerry Slaa (Mb) amewataka Wadau wa sekta ya TEHAMA na Mawasiliano kuunganisha Afrika kwenye miundombinu ya mawasiliano
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda kupitia Kikao
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari chini ya Serikali ya Tanzania imefikia makubaliano ya kihistoria na Watoa
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua rasmi kifurushi kipya cha Faiba Mlangoni Kwako kinachoitwa
March 8 every year is International Women's Day, or International Women's Day. On this day, the women of the Tanzania Communications Association unite with their fellow women around the world to celebrate this important day.
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mafanikio makubwa katika
Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetumia fursa ya Kongamano la Biashara linalofanyika jijini Osaka, Japan kuanzia
Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporation limepeleka huduma na bidhaa zake katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji maarufu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL lililopo ndani ya TEHAMA PAVILION katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
TTCL kama kitovu cha Mawasiliano imehakikisha huduma ya intaneti inapatikana katika kiwango cha juu katika
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeungana na ujumbe wa wataalam kutoka Serikali ya Jamhuri ya
Wanafunzi wa Kidato cha Nne kutoka Shule ya Secondari Kinyamwezi wamefanya ziara ya kujifunza masuala mbalimbali
Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la
Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti