info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
September 19, 2024 08:29:00 | By Adeline Berchimance WADAU WA SEKTA YA MAWASILIANO NA TEHAMA WATAKIWA KUIUNGANISHA AFRIKA

Mhe. Jerry Slaa (Mb) amewataka Wadau wa sekta ya TEHAMA na Mawasiliano kuunganisha Afrika kwenye miundombinu ya mawasiliano

News
October 21, 2025 15:33:17 | By Adeline Berchimance TANZANIA NA DRC KUUNGANISHWA KUPITIA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kikanda kupitia Kikao

News
October 12, 2023 16:22:58 | By Adeline Berchimance SERIKALI NA WATOA HUDUMA ZA MAWASILIANO NCHINI WASAINISHANA MIKATABA

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari chini ya Serikali ya Tanzania imefikia makubaliano ya kihistoria na Watoa

News
November 12, 2025 16:38:26 | By Adeline Berchimance T-FIBER TRIPLE HUB: UVUMBUZI MPYA WA TTCL KWA MAISHA YA KIDIJITALI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua rasmi kifurushi kipya cha Faiba Mlangoni Kwako kinachoitwa

News
March 30, 2023 11:34:25 | By Adeline Berchimance TTCL WOMEN TOUCH THE NEEDY AT OCEAN ROAD

March 8 every year is International Women's Day, or International Women's Day. On this day, the women of the Tanzania Communications Association unite with their fellow women around the world to celebrate this important day.

News
October 27, 2025 11:19:49 | By Adeline Berchimance DRC YAIPONGEZA TANZANIA KWA UWEKEZAJI WA KISASA KWENYE MIUNDOMBINU YA TEHAMA

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mafanikio makubwa katika

News
September 18, 2024 14:06:27 | By Adeline Berchimance TTCL MSHIRIKI NA MDHAMINI WA MKUTANO WA C2C 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano

News
May 27, 2025 16:05:50 | By Adeline Berchimance KONGAMANO LA BIASHARA OSAKA, JAPAN: TTCL YAWAITA WAWEKEZAJI KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetumia fursa ya Kongamano la Biashara linalofanyika jijini Osaka, Japan kuanzia

News
August 9, 2024 10:46:59 | By Adeline Berchimance TTCL YAPELEKA HUDUMA ZAKE NANE NANE DODOMA

Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporation limepeleka huduma na bidhaa zake katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji maarufu

News
August 7, 2023 12:11:10 | By Adeline Berchimance WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL lililopo ndani ya TEHAMA PAVILION katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

News
September 14, 2023 15:53:20 | By Adeline Berchimance TTCL YAWEZESHA INTANETI YA KASI KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT (C2C) ZANZIBAR.

TTCL kama kitovu cha Mawasiliano imehakikisha huduma ya intaneti inapatikana katika kiwango cha juu katika

News
October 9, 2025 15:28:25 | By Adeline Berchimance TTCL YASHIRIKI KATIKA ZIARA YA KIKAZI NCHINI JAPANI KUJIFUNZA MBINU BORA ZA KUKUZA UBUNIFU NA TEKNOLOJIA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeungana na ujumbe wa wataalam kutoka Serikali ya Jamhuri ya

News
June 5, 2024 16:46:18 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA MAFUNZO KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI KINYAMWEZI

Wanafunzi wa Kidato cha Nne kutoka Shule ya Secondari Kinyamwezi wamefanya ziara ya kujifunza masuala mbalimbali

News
August 31, 2024 14:05:55 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SHUKRANI KWA WASHIRIKI WA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la

News
February 7, 2025 12:39:45 | By Adeline Berchimance WASTAAFU TTCL WAISHUKURU MENEJIMENTI KWA KUWAPA MAFUNZO YA KUSTAAFU

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti