Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.
Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan aahidi kuondoa changamoto zinazozikabili Taasisi na Mashirika ya Umma ili kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yao.
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linaendelea kuonesha dhamira ya kuleta mageuzi ya kidijitali
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa ameonesha kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Kituo
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) akabidhi tuzo kwa familia ya Marehemu Joachim Kapembe, kwa kutambua na kuthamini mchango wa Marehemu Joachim Kapembe wakati wa uzinduzi wa huduma ya Mawasiliano ya Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13 2022.
Wito umetolewa kwa Wananchi kutumia huduma zinazozalishwa
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) ameanza ziara
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Marwa, amefanya ziara
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bodi ya
Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imefanya ziara maalum katika kituo cha SEACOM kilichopo
The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, has officially launched
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, CPA Moremi Marwa ameshiriki Kikao Kazi cha cha Wenyeviti wa Bodi na
Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),Bw. Moremi Marwa, amesema katika Mwaka wa Fedha
T-PESA Kampuni tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imeendelea kutoa elimu ya miamala salama ya fedha kimtandao