Katika kuunga mkono ajenda ya kimkakati ya Serikali ya kuimarisha usawa wa kijinsia na kuongeza ushiriki wa
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuthibitisha nafasi yake muhimu katika kukuza sekta ya mawasiliano
Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL ya T-PESA imezindua huduma mpya ya kifedha ya Akaunti Pepe(Virtual Account) ambayo inamuwezesha mtumiaji kufanya miamala ya kifedha kwa usalama na hivyo kuongeza chachu katika kukuza matumizi ya kifedha kidijitali.
Timu ya wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kutoka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), ikiongozwa na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi tuzo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, ikiwa ni kutambua mchango mkubwa wa shirika hilo katika kuimarisha miundombinu ya mawasiliano na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kidijitali nchini.
Katika hatua ya kuimarisha mawasiliano ya kikanda na kukuza uchumi wa kidijitali, Waziri wa
SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania-TTCL limesaini Mkataba wa Makubaliano ya Kibiashara na Kampuni ya Serikali ya Malawi
Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL Corporate Machi 26 mwaka huu limetoa futari kwa Watoto Yatima katika Kituo cha Mazizini na
Wafanyakazi wa Bunge la Marekani (Congressional Staff) Oktoba 17, 2024 walifanya ziara
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa amekabidhiwa rasmi Ofisi baada
Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, T-PESA Limited na Shirika la Bima
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amesema
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limefanya kikao cha 12 cha Baraza Kuu la Wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 28,2024 amefungua rasmi Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na
Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) imefanya ziara maalum katika kituo cha SEACOM kilichopo