info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 27, 2025 11:02:05 | By Adeline Berchimance NAIBU WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TTCL AICC ARUSHA

Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ametembelea Banda la Shirika

News
February 7, 2025 12:39:45 | By Adeline Berchimance WASTAAFU TTCL WAISHUKURU MENEJIMENTI KWA KUWAPA MAFUNZO YA KUSTAAFU

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL waliostaafu na wanaotarajia kustaafu hivi karibuni wameishukuru Menejimenti

News
August 28, 2024 08:09:14 | By Adeline Berchimance TTCL MDHAMINI MKUU HUDUMA ZA MAWASILIANO KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Andrea Marwa anashiriki kikao Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na

News
September 15, 2023 09:16:44 | By Adeline Berchimance NICTBB NA ESCOM KULETA MABADILIKO SEKTA YA MAWASILIANO

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania-TTCL limesaini Mkataba wa Makubaliano ya Kibiashara na Kampuni ya Serikali ya Malawi

News
September 25, 2023 16:54:30 | By Adeline Berchimance HAKUNA UCHUMI WA KIDIGITALI BILA TTCL KUWAJIBIKA- KM ABDULLAH

SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, imelitaka Shirika la Mawasiliano Tanzania (TCCL), kuhakikisha

News
July 13, 2025 23:05:13 | By Adeline Berchimance WAZIRI MKUU AKABIDHI TTCL TUZO YA NAFASI YA TATU KATIKA SEKTA YA MAWASILIANO – MAONESHO YA 49 YA SABASABA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amekabidhi tuzo ya nafasi ya Tatu katika

News
May 7, 2024 13:09:37 | By Adeline Berchimance SERIKALI ITAENDELEA KUHUISHA VIWANGO VYA MSHAHARA- DKT. MPANGO

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation wameungana na Wafanyakazi wenzao duniani

News
June 1, 2025 20:10:02 | By Adeline Berchimance TANZANIA YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO YA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amesema

News
August 1, 2025 22:13:46 | By Adeline Berchimance KIMARA IMEITIKA: FAIBA MLANGONI KWAKO KUTOKA TTCL

Katika jitihada za kuleta mapinduzi ya kidigitali na kuboresha maisha ya Watanzania, Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL)

News
August 20, 2024 15:47:50 | By Adeline Berchimance KAMATI YA BAJETI ZANZIBAR YAIPONGEZA TTCL KWA UBUNIFU NA USIMAMIZI WA MIRADI

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa

News
April 8, 2024 15:24:58 | By Adeline Berchimance TUTAENDELEA KUIMARISHA MAWASILIANO MKOANI MWANZA ILI KUONGEZA UFANISI: MHA. ULANGA

Mkurugenzi Mkuu Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Mhandisi. Peter Ulanga, ameahidi kuwa shirika hilo litaendelea kuimarisha miundombinu ya

News
June 30, 2025 15:37:00 | By Adeline Berchimance TEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA KWA MAHITAJI YA HUDUMA ZA UHAKIKA SALAMA NA GHARAMA NAFUU -BI. MAEDA

Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL, ni miongoni mwa Taasisi, Kampuni Mashirika ya Umma na Binafsi pamoja na

News
August 16, 2024 15:06:02 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA AKABIDHIWA OFISI RASMI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa amekabidhiwa rasmi Ofisi baada

News
October 16, 2024 15:41:23 | By Adeline Berchimance TTCL YADHAMINI KONGAMANO LA NANE LA TEHAMA 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kudhihirisha umuhimu wake katika sekta ya

News
April 4, 2025 15:19:52 | By Adeline Berchimance CPA MARWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUTUNZA MIUNDO MBINU YA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Marwa, amefanya ziara