info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 16, 2024 15:06:02 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA AKABIDHIWA OFISI RASMI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania – TTCL, CPA Moremi Marwa amekabidhiwa rasmi Ofisi baada

News
September 30, 2025 10:17:21 | By Adeline Berchimance SERIKALI YAZINDUA MAFUNZO YA MRADI MKUBWA WA MAWASILIANO VIJIJINI: TTCL KUJENGA MINARA 621

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imezindua rasmi mafunzo ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa usambazaji

News
May 27, 2025 16:05:50 | By Adeline Berchimance KONGAMANO LA BIASHARA OSAKA, JAPAN: TTCL YAWAITA WAWEKEZAJI KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetumia fursa ya Kongamano la Biashara linalofanyika jijini Osaka, Japan kuanzia

News
September 18, 2024 14:06:27 | By Adeline Berchimance TTCL MSHIRIKI NA MDHAMINI WA MKUTANO WA C2C 2024

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL litawezesha huduma ya mawasiliano ya intaneti yenye kasi, Mkutano wa Kimataifa wa TEHAMA na Mawasiliano

News
August 25, 2023 15:06:26 | By Adeline Berchimance TTCL KITOVU CHA MAENDELEO SEKTA YA MAWASILIANO

Imeelezwa kuwa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) ni kitovu cha maendeleo ya Sekta ya Mawasiliano na kitovu cha maendeleo ya uchumi wa Kidigitali nchini.

News
July 7, 2025 20:52:15 | By Adeline Berchimance NAIBU WAZIRI MAHUNDI AIPONGEZA TTCL KWA UTENDAJI BORA WA HUDUMA ZA MAWASILIANO

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Maryprisca Mahundi (Mb), ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) katika

News
July 22, 2025 15:57:44 | By Adeline Berchimance TTCL YAUNGANISHA AFRIKA MASHARIKI KIDIJITALI KUPITIA TANZANIA–UGANDA CORRIDOR

Katika hatua ya kuimarisha mawasiliano ya kikanda na kukuza uchumi wa kidijitali, Waziri wa

News
July 1, 2024 13:19:48 | By Adeline Berchimance SABA SABA 2024 FURSA KWA TTCL KUONESHA UMAHILI WAKE SEKTA YA MAWASILIANO

Shirika la Mawasiliano Tanzania - TTCL linashiriki katika Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Saba Saba katika

News
March 8, 2024 14:52:58 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI SOKO LA MABIBO

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa vifaa vya kufányia usafi soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kwa lengo likiwa

News
August 26, 2024 12:26:45 | By Adeline Berchimance TTCL KUPELEKA HUDUMA ZA MAWASILIANO KATIKA VITUO VYOTE VYA UTALII NCHINI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL limesema kuwa litapeleka huduma za

News
August 11, 2025 09:41:37 | By Adeline Berchimance TTCL YAPATA PONGEZI ZA VIONGOZI WA SERIKALI KWA HUDUMA BORA NA MAENDELEO YA MKONGO WA MAWASILIANO NANENANE 2025

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kupewa pongezi kutoka kwa Viongozi Waandamizi wa

News
August 26, 2024 12:48:37 | By Adeline Berchimance RAIS SAMIA APONGEZA TTCL USHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekabidhi cheti cha

News
December 16, 2024 16:59:15 | By Ester Mbanguka WAZIRI SILAA AZINDUA RASMI BODI MPYA YA TTCL

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry William Silaa (Mb) amezindua rasmi Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania - TTCL leo tarehe 16 Desemba, 2024, Makao Makuu ya TTCL, jijini Dar es Salaam.

News
March 30, 2023 11:34:25 | By Adeline Berchimance TTCL WOMEN TOUCH THE NEEDY AT OCEAN ROAD

March 8 every year is International Women's Day, or International Women's Day. On this day, the women of the Tanzania Communications Association unite with their fellow women around the world to celebrate this important day.

News
July 25, 2025 15:25:02 | By Adeline Berchimance TTCL NA YAS BUSINESS WAIMARISHA USHIRIKIANO UTEKELEZAJI WA AGENDA YA TANZANIA YA KIDIJITALI

Katika jitihada za kukuza uchumi wa kidijitali na kuimarisha miundombinu ya mawasiliano nchini, Shirika