info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
June 1, 2025 20:10:02 | By Adeline Berchimance TANZANIA YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO YA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amesema

News
July 13, 2024 20:02:10 | By Adeline Berchimance RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA TTCL SABA SABA 2024

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi ametembelea Banda la TTCL kwenye

News
August 29, 2024 17:27:10 | By Adeline Berchimance CPA MOREMI MARWA ATEMBELEA BANDA LA TTCL ARUSHA

Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, CPA Moremi Marwa, ametembelea Banda la Maonesho la Shirika hilo lililopo katika Viwanja vya Ukumbi

News
August 30, 2024 10:23:40 | By Adeline Berchimance VIONGOZI WA TAASISI NA MASHIRIKA WAPEANA UZOEFU KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma wameendelea na Kikao Kazi kilichowakutanisha jijini Arusha kwa lengo la kujadili masuala

News
September 6, 2023 09:21:29 | By Adeline Berchimance TTCL YAFANIKISHA MKUTANO WA PAPU KIMTANDAO

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL ni miongoni mwa Taasisi na Mashirika ya Umma yaliyo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yaliyoshiriki maonesho yaliyoandaliwa na Wizara hiyo wakati wa Kikao cha 41 cha Baraza

News
October 25, 2024 00:22:15 | By Adeline Berchimance WAZIRI SILAA AZINDUA MNARA WA TTCL KIJIJI CHA HIKA WILAYA YA MANYONI SINGIDA

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa (Mb) amezindua rasmi

News
July 30, 2025 08:35:52 | By Adeline Berchimance MWENGE WA UHURU WAIPONGEZA TTCL: KITUO CHA MKONGO KUWA MWOKOZI WA MAWASILIANO SIKONGE NA MAENEO YA JIRANI

Katika muendelezo wa kutekekeleza agenda ya Serikali ya Tanzania ya Kidigitali, Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limepokea

News
August 9, 2023 12:17:20 | By Adeline Berchimance WAZIRI WA KILIMO ZANZIBAR AIPONGEZA TTCL KWA KUIMARISHA MAWASILIANO.

Waziri wa Kilimo. Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Mhe. Shamata Khamis amelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania –TTCL kwa huduma wanazozitoa ambapo zimerahisisha Mawasiliano Nchini Tanzania na nje ya Nchi.

News
August 7, 2023 12:11:10 | By Adeline Berchimance WAZIRI MKUU ATEMBELEA BANDA LA TTCL SABASABA 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ametembelea banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL lililopo ndani ya TEHAMA PAVILION katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

News
September 14, 2023 15:53:20 | By Adeline Berchimance TTCL YAWEZESHA INTANETI YA KASI KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT (C2C) ZANZIBAR.

TTCL kama kitovu cha Mawasiliano imehakikisha huduma ya intaneti inapatikana katika kiwango cha juu katika

News
August 9, 2023 13:29:35 | By Adeline Berchimance BANDA LA TTCL LAWA KIVUTIO KILELE CHA NANENANE MBEYA

Wananchi na Wadau mbalimbali hususani Wakulima, Wafugaji na Wavuvi wamevutiwa na huduma na bidhaa zinazotolewa na Shirika la mawasiliano Tanzania.

News
August 31, 2024 12:36:54 | By Adeline Berchimance VIONGOZI TIMIZENI NDOTO YA RAIS SAMIA-KATIBU MKUU KIONGOZI

Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Mashirika na Taasisi za Umma kimefungwa rasmi na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt.

News
September 19, 2024 08:24:58 | By Adeline Berchimance MHE. SILAA APONGEZA JUHUDI ZA TTCL KATIKA KUUNGANISHA AFRIKA

Mhe.Jerry Silaa amepongeza juhudi za Shirika la Mawasiliano Tanzania-TTCL katika kuungaisha nchi za jirani

News
August 31, 2024 14:05:55 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SHUKRANI KWA WASHIRIKI WA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la

News
August 18, 2025 08:32:58 | By Adeline Berchimance TTCL YAFANIKISHA KAMPENI YA FTTH KIMARA STOP OVER, YAHAMIA KIMARA TEMBONI

Meneja wa Kibiashara wa TTCL Mkoa wa Dar es Salaam Kaskazini, Bw. Diwani Mwamengo, amesema utekelezaji