info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
October 6, 2025 16:33:46 | By Adeline Berchimance HUDUMA BORA KWA WATEJA NDIYO DIRA YA TTCL – Bi. ANITA MOSHI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeungana na Mataifa mengine Duniani kuadhimisha Wiki ya Huduma

News
May 31, 2025 16:33:19 | By Adeline Berchimance AfIGF FURSA MUHIMU KWA BARA LA AFRIKA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIDIJITALI – WAZIRI SILAA

Mkutano Mkuu wa 14 wa Jukwaa la Utawala wa Mtandao Afrika (Africa Internet Governance Forum - AfIGF)

News
April 29, 2026 14:05:19 | By Ester1 Mbanguka1 TTCL YAKABIDHI MAGARI 9 NA BAJAJI 28 KUIMARISHA UTOAJI WA HUDUMA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Moremi Marwa, akabidhi rasmi magari tisa (9) na bajaji ishirini na nane (28) kwa Wakuu wa Idara na Vitengo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha utekelezaji wa majukumu ya Shirika na kuboresha utoaji wa huduma kwa wateja.

News
October 13, 2024 11:02:07 | By Adeline Berchimance TTCL KUBORESHA UTOAJI HUDUMA KWA WATEJA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuboresha huduma zake kwa wateja kupitia

News
September 14, 2024 15:22:13 | By Adeline Berchimance T-PESA YAPONGEZWA UTOAJI HUDUMA

Watumishi wa Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania, T-PESA

News
April 4, 2025 15:19:52 | By Adeline Berchimance CPA MARWA ATOA WITO KWA WANANCHI KUTUNZA MIUNDO MBINU YA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA Moremi Marwa, amefanya ziara

News
April 17, 2026 14:18:58 | By Ester1 Mbanguka1 TTCL YAPONGEZWA KWA FAIDA YA SHILINGI BILIONI 22.9

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuimarisha usimamizi na ufanisi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kufuatia mafanikio ya Shirika hilo kurejea katika faida na kuonyesha mwelekeo chanya wa ukuaji wa kibiashara.

News
March 30, 2023 11:34:25 | By Adeline Berchimance TTCL WOMEN TOUCH THE NEEDY AT OCEAN ROAD

March 8 every year is International Women's Day, or International Women's Day. On this day, the women of the Tanzania Communications Association unite with their fellow women around the world to celebrate this important day.

News
June 16, 2025 07:58:10 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA MWELEKEO MPYA WA UBORESHAJI WA MIAMALA YA KIDIJITALI AFRIKA

Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia ya kidijitali, T-Pesa, imeonesha dira ya maboresho ya miamala ya pesa barani Afrika kupitia wasilisho

News
October 28, 2024 05:40:48 | By Adeline Berchimance WIZARA NA TAASISI ZAKE YAWASILISHA TAARIFA MBELE YA KAMATI YA MIUNDOMBINU

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na taasisi zake za Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na

News
September 19, 2024 08:29:00 | By Adeline Berchimance WADAU WA SEKTA YA MAWASILIANO NA TEHAMA WATAKIWA KUIUNGANISHA AFRIKA

Mhe. Jerry Slaa (Mb) amewataka Wadau wa sekta ya TEHAMA na Mawasiliano kuunganisha Afrika kwenye miundombinu ya mawasiliano

News
June 18, 2025 10:06:20 | By Adeline Berchimance WAZIRI SIMBACHAWENE APONGEZA TTCL KWA HUDUMA BORA NA UWEKEZAJI WA KISASA

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuimarisha

News
May 27, 2025 16:05:50 | By Adeline Berchimance KONGAMANO LA BIASHARA OSAKA, JAPAN: TTCL YAWAITA WAWEKEZAJI KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetumia fursa ya Kongamano la Biashara linalofanyika jijini Osaka, Japan kuanzia

News
August 30, 2024 10:23:40 | By Adeline Berchimance VIONGOZI WA TAASISI NA MASHIRIKA WAPEANA UZOEFU KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma wameendelea na Kikao Kazi kilichowakutanisha jijini Arusha kwa lengo la kujadili masuala